Nyumba ya Jay Dee Kupigwa Mnada Baada ya Kushindwa Kulipa Deni la Mkopo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Judith Wambura Habash kushindwa kulipa mkopo aliokopa,nyumba yake iliyopo Mivumoni,Kinondoni imewekwa sokoni kwa ajili ya kupigwa mnada.

Mtakumbuka kuwa sasa hata Bar yake ya M.O.G imefungwa muda sasa.

Tumuombee Anaconda maana anapita kwenye wakati mgumu sana sasa hivi

Chachu Ombara/ Jamii Forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Alimuacha mungu akamfuata shetani.hakuna jema litokalo kwa shetani likadumu

    ReplyDelete

Top Post Ad