AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wenyeji wengi wa Kinondoni wanasema mbuzi hao walianza kuonekana mmoja mmoja lkn sasa wamekuwa wengi na kuzunguka wakiwa ktk kundi.Hawachinjiki wala kukamatika,wengine huwahusisha na "masalia" ya mbuzi wa "kafara" ambapo watu wengi wanaoamini juu ya kafara huja nyakati za usiku ktk maeneo ya makaburi na kutoa kafara au kuwaacha kama njia ya kutawanya "mikosi" na "mabalaa".
Zipo habari za kikundi cha mateja kujikusanya na kuwakamata hao mbuzi na kuwauza kwa wapika supu,kitu kilichopelekea mateja wengi kupukutika kwa kifo na magonjwa ya hatari,na wale wanunuzi kupata mauzauza ya ajabu..kiasi mpaka sasa,licha ya njaa za mateja,lkn huwezi kukuta teja anawakamata na kuwauza.
Mbuzi Hawa Wanaitwa gusa unate...Je kwa wajuzi na wajanja wa Kinondoni,kuna ukweli gani juu ya mbuzi hawa??ni nani kweli mmliki wa hii mifugo?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
SubhannaAllah SHIRKI ZIMEZIDI JAMANI TUMRUDIE MWENYEZI MUNGU.
ReplyDeleteDUH!!!