Stori ya Msichana Anayejiita WEMA DAILY Kwenye Instagram na Jinsi Instagram Inavyompa Pesa Mpaka Kuacha Kazi ya Kuajiriwa-Must Read Story

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuna Watu Hii Mitandao ya Kijamii Kama Instagram na Mingine mingi wanaichukulia poa tu na kuona sehemu ya Kufanya mzaha na kutukana watu wakati kama ikitumika vizuri ni Ajira tosha ya kujipatia kipato bila shida..Hapa chini nimekuweka Stori ya Msichana anayejiita Wema Daily huko Instagram....Jisomee Mwenyewe Hapo chini si ya Kukosa itakufungua Macho:

'MWANZO......As a young girl binafsi sikuwai kua na ndoto za kuajiriwa japo kua Mungu alinsaidia sjawai kufeli wala kukwama Darasa lolote mpaka namaliza chuo kikuu.Nilisoma kwasababu everyone else was studyng and My mother put every single sent for us ili tupate elim. Elim inasaidia sana especially ukikaa na watu mnakua mnaongea lugha moja , but still skuwai kujiona kama muajiriwa HONESTLY. .
.
Nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu nlijaribu kujiunga na wenzangu kikund kimoja and we opened an NGO tulikua wanafunz wa vyuo tofaut kama kum na nne tulifight sana but tulikosa grants coz tulikua wanafunz they figured tutakua busy na masomo. Baadae watu nguvu ziliwaisha kila mtu akaendelea na shule walio maliza wakawa madaktari ikaishia ivo...
Mwaka ulio fata since kila mtu alikua busy nkaanza kufanya kazi za tempo mwaka wa kwanza mpaka wa pili nkiwa chuo ... Pesa nliyo ipata ilinsaidia hata nkiwa likizo nisiombe pesa kwa mzazi..... Ukichanganya na boom la chuo tena mambo yanaenda fresh. But mazingira ya kazi za Tempo nlizo kua nkifanya nlitaman sana nije kua na kampun inayo fanana na ile. So ndoto zangu zote Ikawa ( bado zipo) kuwaza kufungua kitu kinacho fanana na ile.

Badae walikuaja watu wakasema wanasaidia vijana kufungua makampun na kuwapa muongozo. Ada ni laki moja. Sikua na hela ( ki chuo chuo) nlipiga sim kwa kaka angu akantumia hiyo ela nkajiunga. Tulifunguliwa kweli makampun tukaanza kupewa seminars. Na project za kufanya na kutu ahid kutusaidia kutupmbea mikopo. I must say ilinipa hope sana na ikaonyesha mwanga wa maisha yangu Baada ya Chuo.

Ila baadae it turn out vikao na seminar haziiahi ahad ahadi mwisho wa siku tena watu wakakata tamaa. Nguv zikaisha Watu wakaendelea na mambo yao . Wenye kazi zao na wenye biashara na wanao soma masters. Hakukua na watu tena kwenye iyo kampuni, Sasa kwasababu option ziliisha nikarud kwenye wazo langu la kufungua Kampun nlo kua nkiitaka .... Nliomba ushauri wa watu waliopo kwenye iyo fieild they told me how Good my idea was. Coz ilikua kidogo tofaut . And they liked it

Tatizo ikawa pesa ya kufungulia kampun sasa natoa wap? Nika stak na idea yangu mpaka nikamaliza chuo sina foundation yoyote now where do i start? Sina kazi ( sitaman kuajiriwa ) na ndo nimemaliza nikawa kula kulala nyumban. Ila uzur nkawa siomb hela sana since nlikua na tempo works nazo fanya now and then

With the boredom ya kukaa nyumban kutuma ma cv kila kona .. Am a social person and i love pics and edits more over nlikua nampenda sana rihanna to kill time na ili nsiboreke na maisha nliyo nayo nkafungu account ya instagram FAN PAGE  ya rihanna. I met cool people Navies are the best . I got friends walontumia hadi nguo za rihanna river island .. I had friends from all over the place na kusema ukweli nlikua siborek. Napika na sim yangu i hated kulala usiku hehe.

So pressure za kutafuta kazi nkawa sina sana coz nlikua najichanganya na watu na hali yangu yakutokua na kazi ikawa hainisumbui.

But one day nkakaa chini and thought ivi why am i having rihs fan page? Atakuja lin Tanzania ? Why nsifanye kwa mtu nnaempenda hapa hapa TZ?
Nkifungua fan page ya kibongo kwasabu na mpenda sana wema ... Then i decided kufungua inayo muhusu wema .... Wanna tell u one thing wakat niko na Navy account kama fan page u do it for love. Without expectation za kua utamuona hiyo msanii wala yeye siku kulike pocha yake utakayo weka .

Nlipo fungua fanpage turned out to be the first fanpage hapa bongo and in my mind skua hata na wazo kama wema atanotice na alivo famous hehe i was just busy showing love.

Ila ajabu nkashangaa @wemasepetu kuona amenifollow and all her crew and a was like ok hahaha now this is new thing.

The worse side of it ilikua watanzania walikua tofaut kidogo maybe ni tabia tuliyo nayo ya kudiss vya nyumban na kupenda vya wenzetu. Nlinza kusemwa sana kua nataka sijui lunch some lame stuffs. Some of my friends kwasabu account ilianza kukua walianza kunisema that am being lame nakua kama sijasoma naanzishaje fanpage msomi mzima. Thy got toe kiukweli nlikua najiskia vibaya sana. Ila napenda sana so i didn care

Baadae when the page grew i started helping watoto wa shule za msingi ... Kupitia same page. Watu walikua wanasaidia sana tena sana walikua wanajitoa and at somepoint nkasema nifungua foundation Same song coz sipend kuajiriwa bora nifungue foundation nsaidie watu and use the page for something positive

I tried jaman and it was a success untill some people start kunisema instagram na kuniwekea vikao kua am using hela za watu kuish while all the cash zilikua zinaenda direct kwa watoto.

Or else i used some for transport to their schools. Sasa na mzazi akaanza kunjia juu kua ntafute kazi coz nlikua nsha move out nimepanga chumba expensie ka nna hela vile af naomba nyumban kulipiwa kodi.

Kila mtu akanijia juu. Thats when i decided to drop the charity thing and focus kutafuta kazi ambayo nlifanikiwa kupata. Nlitishiwa kwamba nsipo pata kazi kodi inayo kuja ntalipa mwenyewe or else njue pakwenda

Na nkiona pesa yenyewe ndefu nkasema isiwe tabu ngoja niende mzigon. Kazin sasa.. I was smart hard working ... My table would tell but nlikua nachelewa sana kazin. Nimewahi ni saa tatu. Kuamka wala stressful works wasn hard for me.

Tatizo lilikua mshahara. I wont tell kiasi nlichokua napata but it was awful. Hapo nimeamia nyumba nalipa laki mbili . Mshahara na kod ya mwez vinakaribia kulingana.

Lakin nlivumilia coz they wanted me to work was waiting prob iishe niongezwe mshahara. But maisha yaliongezeka kua magim zaid kila kukicha. Nkienda hospita naambia BP iko juu hapo hata miaka 25 sijafikisha. Na mtoto sina.  I had to work for 6 months ilikua kama mwaka.

I remember kuna hela nlitakiwa kulipa ya kodi mshahara umechelewa.. Nkaenda kwa boss ansaidie mshahara ukitoka nimpatia akanambia THEY CANT HELP ME. Naomba niwambie in mylife sjawai hongwa. Halaf kama nlivyo jikiza sipend kuomba msaada kwa mzazi. Worse enough nna fanya kazi. The frustrations were on PEAK. Hapo bado nna account yangu ya instagram. Sasa nika mtext Wema this day and asked her kama its ok nkitumia the page kuweka matangazo kwa kulipia.. And she told me its ok baby haha. .
.
Since my page ilikua na watu wengi nkaanza kuweka matangazo ya watu coz they wanted to and i have many followers and wema gave me go ahead nkaanza kufanya matangazo ya Instagram. Which helped me sana and at the end of the day nkaacha kazi yangu ya kuajiriwa and stayed home and kufanya account yangu ya instagram inilipe.

Saiz i have the coolest place am living the best life and nkaacha kazi ya kuajiriwa. So ikawa kinda kama kazi ya kujiajir though not much.. Ambayo kwa mwez i get more million moja na laki tano toughly hapo ni kwa zile nazo save nimetoa nazo timia. My passion turned out to be my working place. And toka nimeanza kufanya kazi za kutangaza ig.. Av been reading alot about Internet marketing Saiz i have opened my company special for INTERNET MARKETING , SOCIAL MEDIA MANAGEMENT AND DIGITAL PR. Which am going to launch soon. Hiyo ni only one project ukiacha the next big thing coming around the corner.

THATS MY STORY'
.
.Wemadaily story yako pia imebadili mtizamo wangu. Kila la heri katika yote
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. An inspiring story

    ReplyDelete
  2. Yeap, never let your dream die.

    ReplyDelete
  3. dada umenipa moyo sana toka last year nimesema namalizia kibanda changu, the day i move my ass to that kibanda. mimi na kuajiriwa basiiiiiiii. na hivi nimeanza mdogomdogo ka ajira kangu mwenyewe!! ili baadaye sasa najikita zaidi katika kazi yangu.;

    daaaah you made my day shost. BE WEMA FANYA WEMA.
    MUNGU AMBARIKI SANA MHESHIMIWA WETU MTARAJIWA HANA ROHO YA HIYANA.

    ReplyDelete
  4. Great.real inspiring

    ReplyDelete
  5. kumbe team wema wanahakili

    ReplyDelete
  6. kwa wale ambao hamjawahi kujiajiri niwape siri,Usije huku kama hauna motives, targets , plans, effort na faith mtaumbuka .. NImeajiri nina kampuni langu la Production , Nina stationery naskia faraja sana sipendwi hofu za boss am the boss bnamshukuru Mungu and not that elder am only 23

    ReplyDelete

Top Post Ad