Diamond anyakua tuzo mbili za NAFCA 2015 nchini Nigeria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa Bongo fleva nchini anayetamba kwa sasa na wimbo wa ‘Nana’ huku akiitambulisha Tanzania Kimataifa zaidi katika tasnia muziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wikiendi hii staa huyo wa ‘Nana’ ameshinda vipengele viwili kwenye tuzo za Nollywood and African People’ Choice Awards
Diamondss (1)Vipengele alivyoshinda Diamond kwenye NAFCA ni Msanii bora wa mwaka na Wimbo bora wa mwaka.

Tuzo hiyo ni mafanakio zaidi kwa Diamond na tasnia nzima ya muziki nchini ikiwa ni siku chache tangu staa huyo anyakue tuzo za MTV MAMA 2015 katika kipengele cha Mtumbuizaji bora.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. We know that he deserve it, so what? Time will tell not today not tomorrow keep my words, ,!all in all good luck for him.

    ReplyDelete
  2. You anonymous above! Everything has its end, It doesn't mean he will be there forever, but for the time being doing good things give him support and not disappoint him.

    ReplyDelete
  3. big up DIMOND angalia mbele

    ReplyDelete

Top Post Ad