AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa?
Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi Lowasa ndo raisi, siku wanafika Tanzania wakakuta ndo siku Lowassa anajiunga na CHADEMA ...Yakawafika Hapaaaaaa.........!!!
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
Kweli Mungu ndio ametuletea loawassa hatakama mamluki hawataki kamwe alilokusufia Mungu halibadiliki
ReplyDeleteNafasi ya urais ni nzuri kama utajali wananchi,mnaohama ccm mmeongoza sana.mkitoka mnasema rushwa,rushwa.mmetoa mamiliyoni ktk vyama vipya. Mkiwa ccm mbona hamkutoa kabisa hiyo rushwa?Je mawaziri wakuu mnapokikana chama mbona hamkani utajiri mlioupata kinyemera?je mnaendelea kufaidi ppf zenu kama mawaziri wakuu?
ReplyDeleteTuwapongeze Prof Lipunba,Dr Slaa kwa kuona mbali. Dumisheni umoja wa nchi yenu msije mkamaliza watanganyika mliowafanya masikini.
CHUKUWA TANO. SIJUI WAITWA NANI, NIMEIPENDA COMMENT YAKO. ALL THE BEST
DeleteMsituaminishe Mataifa ....hakuna Binaadamu Mtabiri
ReplyDeletemtajiju ccM mwaka huu,hapatoshi LOWASAAAAAAA yuleeeeeeeeeeeeeee-ndo Raissssssssssssssss tzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Deletelowasa raisi tuuuuuuuuuuuu
ReplyDeletemalofa ndo maamzi trh hiyo
ReplyDelete