Aunty Ezekiel: Ningetaka Mtoto Mweupe Ningezaa na Mzungu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aunty Ezekiel na Moses Iyobo
MSANII wa Bongo Movie anayetambulika kwa jina la Aunty Ezekiel amewajia juu mashabiki wake wanaomuongelea vibaya mtoto aliyezaa na mnenguaji wa Diamond Platnumz, Mozee Iyobo.

Aunty Ezekiel aliandika katika mtandao wa jamii kwamba amesikitishwa na namna baadhi ya mashabiki wake wanavyong’ang’ania aweke picha ya mtoto wake anayetambulika kwa jina la Cookie.

“Kuweka uso wa mwanangu mtandaoni ni hiari yangu, msilazimishe, mwanangu ni mweusi sana au ana chongo siwezi kumuanika hadharani, mimi ndiye najua utamu na uchungu wake, ningetaka kuzaa mtoto mweupe ningezaa na mzungu,’’ aliandika Aunty Ezekiel.

Mtanzania
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad