Picha za DR Slaa Akiwa Ndani ya Ndege Akielekea Ughaibuni Baada ya Mkutano wake na Waandishi wa Habari zanaswa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dr Slaa akiwa ndani ya Ndege akielekea ughaibuni asubuhi ya leo.
Nayakumbuka sana maneno ya Mwenyekiti Mbowe, aliwahi kusema "...Safari ya ukombozi ni sawa na safari ya treni linanalo kwenda Kigoma, wapo watakao shukia na kupandia Pugu, Morogoro, Dodoma, Tabora nk, lakini mwisho wa siku lazima safari indelee mpaka Kigoma... "
Akasema sema tena "... Ikitokea mmoja kati yetu akafa msilie, wekeni maiti yake pembeni kwa heshima kisha msonge mbele... "
Wish you well Dear Dr. Nitaendelea kukuheshimu lakini mapambano yanaendelea.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad