AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond na Mtoto wake |
Alisema makubaliano ya kuendelea kumficha mtoto huyo asionekane kwa jamii yametokana na makubaliano waliyonayo na makampuni mbalimbali yanayomdhamini.
Diamond alieleza hayo juzi katika kipindi kipya cha Uhondo kinachorushwa na Redio Efm chini ya uongozi wa Dinna Marios.
Alisema yeye na Zari walikuwa katika mazungumzo ya makubaliano na baadhi ya makampuni yanayotaka kuionyesha picha ya mtoto wao huyo kwa mara ya kwanza siku hiyo ya arobaini itakapofika.
“Hayo makampuni ndiyo yataionyesha picha ya mtoto wetu kwa mara ya kwanza siku hiyo ya arobaini itakapofika ndiyo maana tumekuwa tukijitahidi kuzuia watu wasipige picha na kuzisambaza mitandaoni hadi atakapotimiza siku hizo arobaini ili mchongo wetu usivuje,’’ alifafanua Diamond.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK