UKAWA Washinda Rufaa za NEC na Kufanikiwa Kuzuia Wagombea wa Majimbo Matano Kwa Tiketi ya CCM Kupita Bila Kupingwa.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kufuatia Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutangaza baadhi ya majimbo, wagombea wa CCM wamepita bila kupingwa, hali iliyopelekea wagombea wa vyama vya upinzani kukata rufaa NEC.

Baadhi ya rufaa zilizokatwa wagombea wamefanikiwa kushinda, hivyo majimbo hayo hayatapitwa bila kupingwa kama ilivyokuwa imetangazwa awali.

Majimbo hayo ni: 

1. Handeni 
2. Chalinze 
3. Bumbuli 
4. Ukonga 
5. Ludewa



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad