AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndongolo alikuwa mkufunzi na Hamis alikuwa rubani mwanafunzi.
Walikuwa eneo la Msasani, Dar; zimepatikana parachutes na helmet za vichwani mwao ila Makamanda wetu hawajapatikana. Na ndege pia imepatikana
JWTZ imethibitisha leo kuwa ndege ya mafunzo ya kijeshi imeanguka mwambao wa Kunduchi, Dar ikiwa na marubani 2. Marubani hao bado hawajapatikana.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK