AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa ni wazi CCM imezikwa rasmi Monduli... Na bado kuna msururu wa maelfu ya wanachama wa CCM wanarudusha kadi zao mpaka sasa.... Inakadiriwa karibu wananchama wa CCM zaidi ya elfu 20,000 wanaweza kurudisha kadi zao leo usiku....
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
peeeeeeeeeepleeeeeezzzzzzzzzzzzzzzzz! hongereni MONDULI!
ReplyDelete
ReplyDeleteMhhh na sisi wasukuma tunarudisha kadi za chadema tuone nani mwamba
Watu tuko kwenye maombi kukiombea chama chetu(CCM) kwa hiyo hatushangai kuona hivyo,maana hayo ndio yale mauchafu yanayoichafua CCM,na ndio wanatakiwa UKAWA.WAENDE TU.bado,na wengine wanajishauri muda si mrefu mtasikia.CCM OYEEEEEEEEEEE
ReplyDeleteumasai tu unawasumbua...................wanarudisha cadi lkn kura yao ni kwa tingatinga...................hapA kAz tU
ReplyDeleteUkishakunywa maji ya CCM kisawasawa hushawishiki ng'o,hata upewe sh.ngapi nafsi itakuwa inakusuta,hawa sio wa CCM damu,nadhani walikuwa bendera kufuata upepo,na pengine siku ya kupiga kura uzalendo utawashinda watachagua CCM.HAPA KAZI TU.
ReplyDeleteNA IWE LAKINI HAPA KAZI TU.
ReplyDeleteNi uongo wenye makucha.
ReplyDeleteYelewiii,Yaani sielewi kitu HAPA KAZI TU.
ReplyDeleteWatu wa Monduli wanamsimamo, umoja na maamuzi Magumu si mchezo. Wakiamua wameamua na wamejiandikisha. Sasa bado LONGIDO, NGORONGORO na kule alipogundulika binadamu wa kale LOLIONDO huko we acha tu.
ReplyDeleteNAMBA TULIYOPEWA YA WANACHAMA NA KADI TUNAZOONA ZIMERUDISHWA TOFAUTI MBONA?
ReplyDeleteMuulize nape na Kinana kunguru wewe
DeleteMimi CCM lakini kura simpi magufuli nampa Lowassa
DeleteHicho ndicho kinanifanya nizidi kuipenda CCM mpya,Ndumila kuwili ni kuwatimua tu.
ReplyDeleteAcha usenge wewe
Delete