AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Mwanza na mwenyekiti wa Chadema taifa Mh. Freeman Mbowe akiwa pamoja na Waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye pamoja na aliyekuwa mgombea urais kupitia chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) akiungwa mkono na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi (UKAWA) Mh. Edward Lowassa.
Naye Mchungaji Charles Lugiko ambaye ni baba wa marehemu Alphone Mawazo amelaani kitendo cha askari polisi kwenda hadi nyumbani kwake eneo la Nyegezi na kuwatawanya waombolezaji waliokuwa wamekusanyika nyumbani kwa ajili ya kuuaga mwili wa marehemu Mawazo.
Alphonce Mawazo aliuawa kikatili kwa kukatwa mapanga na mashoka na watu wasiojulikana Novemba 14 mwaka huu katika kijiji cha katoro wilayani Geita.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hahahahahah!! Hizo hasa ndio kazi zenu WAPINZANI, kutafuta wapi pa kupinga mkapinge, kuongea na waandishi wa habari kila siku, kususia bunge n.k hahahahahaaaaa HAPA KAZI TU
ReplyDeleteIpo siku UNYANYASAJI, UKATILI KWA WANYONGE WANAODAI HAKI ZAO NDANI YA SERIKALI HII KIPOFU NA KIZIWI itakuja kurealize kumbe UPINZANI WANAPOINT kwa wanachokifanya. Na kama Serikali iko sahihi kwanini inawazibia WAPINZANI kila wanapotaka kufanya jambo na wananchi? MPAKA KWENYE MSIBA SERIKALI INATAWANYA WAOMBOLEZAJI KISA NI UPINZANI WALIO WENGI WAMEKUSANYIKA KWA AJILI YA MWENZAO ALIYETANGULIA MBELE YA HAKI?!! Aibu gani hii Tanzania, halafu mnasema eti kisiwa cha amani...! Hata haya hamna?
ReplyDelete