January Makamba Naamini Amepata cha Kujifunza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

By Mussolin5/Jamii Forums
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

8 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kama alikuwa na mawazo ya kuja kuwa waziri mkuu Nampa pole saaannaaa, alikuwa anaota!

    ReplyDelete
  2. Wewe veepee?? Kwani alishawahi kukwambia kwamba anategemea kuwa PM??
    Makamba hajipendekezi isipokuwa ni mchapakazi na muwajibikaji katika nafasi zake, ndo'maana unasema anajipendekeza........ inaelekea Mh. Makamba anakuumiza sana, bashi POOYEE........

    ReplyDelete
    Replies
    1. ebu tupe mfano wa uwajibikaji wake!!!!

      Delete
  3. Nyie acheni mabishano tuliombee Taifa letu liwe na Amani na utulivu.

    ReplyDelete
  4. Makamba anafanya kazi gani umeenda jimboni kwake ni maskini wa kutupwa hajafanya chochote ,kwanza hata huo uwaziri wakimpa basi tu lakini amri yangu asingepewa chochote akafanye kazi huko bumbuli kwanza

    ReplyDelete
    Replies
    1. Wewe jimboni kwake umeenda au umepita tu? Kama unataka kuyajua vuzuri ya bumbuli ni vema uwaulize wanabumbuli kwanza.

      Delete
  5. Aliyekuambia January Makamba anataka uwaziri mkuu nani?Ungemuambia Mbowe kusaliti wenzie kwa kutegemea mgombea wake angepata urais ili aambulie uwaziri ingefaa kuliko hili unalolopoka kwa Makamba.Wapi CCM B?WOTE KIMYAAAAAAAAAAAAA.HAPA KAZI TUU.

    ReplyDelete
  6. Jamani acheni malumbano ya chama sasa tumsikilize Magufuli na serikali yake watakavyo watumikia WATZ. Ikifika 2020 muanze tena mabishano.na Makamba ajaribu tena Urais tuone..

    ReplyDelete

Top Post Ad