AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais John P. Magufuli amefuta majina ya maafisa wa Serikali 50 na kubakiza 4 tu waliotakiwa
kwenda kwenye mkutano wa Jumuiya ya Madola
Hatua yake hiyo imeokoa takribani milioni 700 ambazo zingetumika kwenye malipo ya posho na tiketi za ndege
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Yeap, that what we want to see, habari yakubeba misafara na kubeba mchepuko yenu kwenda mayo safarini na kutumia hela za serikali imeishia hapaaaaa lol No more Asante Dr. JPM
ReplyDeleteHONGERA RAIS MAGUFULI
ReplyDeleteMagufuli kiboko,asante Kikwete kwa kumkata Lowasa na kutuwekea Magufuli.
ReplyDeleteNINAFURAHA YA AJABU, KURA YANGU IMETUA MAHALI SAHIHI, SIJAIPOTEZA, MUNGU AKULINDE INSHALLAH
ReplyDeleteHizo safari ndio zinazowafanya wanajenga maghorofa kila kukicha, wakati hospitalini vitanda havitoshi na dawa hakuna, MSD hawajlipwa fedha zao za madawa, walimu wanadai malimbikizo tele, wao kazi nai kuzurura hovyo tu...BIG UP CCM FOR PICKING THIS TINGATINGA OUT OF 42............
ReplyDeleteRAIS MAGUFULI NI KIBOKO WAO ASANTE SANA 2020 TUHANAKUCHAGUWA WEWE TU
ReplyDelete