Ushauri: Mchumba Wangu Anaishi na Jini na Linataka Limuoe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mimi ni mvulana wa miaka 28, Nina mchumba wangu ambaye nimeshalipa gharama ya mahali kama robo 3 ila siku hizi nipo karibu sana na huyo mchumba wangu.

Siku moja alikuwa ananisimulia maisha yake, kitu kilichonitisha amesema yeye kuanzia 2014 anaishi na Jini subiani naikipita siku hajaswali basi usiku yule jini anamtokea na anasex na kubwa zaidi hiyo jini ndiye aliyemtoa bikra na akisex nae asubuhi anakuta mbegu ukeni.

Miezi michache iliyopita Jini alikuwa anambembeleza amuoe ila binti amekataa, sasa hii kitu mi inanitsha sana coz nahisi kama huyu jini ata nimaliza mimi coz atajua ndo sababu ya yeye kukataliwa.

Ushauri wenu coz niliplan tufunge ndoa mwezi 3 mwakani

NAFASI ZA AJIRA>>WWW.AJIRAYAKO.COM
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mpeleke kanisan akaombewe hakuna cha subian wala makata.

    ReplyDelete
  2. Maombi tu baba, kanisaniii

    ReplyDelete

Top Post Ad