Jack Wolper Aambulia Matusi Mtandaoni Baada ya Kupost Picha ya Mazishi ya Kalosh, Mwenyewe Atoa ya Moyoni na Kusema Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Jack Wolper amejikuta katika wakati mgumu baada ya kupost mtandaoni picha ya maiti ya Marehemu Kaloosh ikiwa katika jeneza...Baada ya tukio hilo watu mbali mbali walianza kumkosoa na wengine kumrushia matusi kwenye page yake kwa kusema sio sahihi kipost picha kama hizo..

Mwenyewe leo amefunguka kama ifuataavyo:

"Jamani insta NAOMBENI muwe na mipaka kwanza mnatakiwa mjue hii ni acc yangu sishei na mtu yoyote..pili nimekosea nimewaelewa kwann mnitukane jamani wakati nilielewa sikilizeni mm ni dada na ni mchumba wa mtu na vilevile sio bora dada ni dada bora naheshimika kwangu mpk kwetu sawa kwahiyo mnapoandika matusi YENU wadogo zangu wanaumia mbali na mm naombeni sana Mkome na msinizoee kunitukana kwasababu naumia na mnawaumiza ndugu zangu na wengine ambao wamenifollow sitaki sitaki huwezi kunishauri mpk unitikane unfollow sina nguvu ya superglue kusema nimewagandisha tafadhari...sipendi nasema tena sipendi mbona mm siwafati kwenye acc zenu kuwatukana from no where jamani MNIACHE plz" Jack Wolper
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad