AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mark anasema ili asipoteze akili nyingi kwa mkewe na kwake juu ya nini avae na ni nmana gani anatakiwa kuvaa,ameamua kuwa na nguo za aina moja katika kabati yake na kutoa "tender"(zabuni) kwa kampuni kumtengenezea aina hiyo ya nguo,pia ameamua kununua nyumba iliyo karibu kabisa na Makao Makuu ya Facebook ili asiwe anatumia usafiri wa aina yoyote zaidi ya kutembea toka nyumbani mpaka ofisini.
Ukifuatilia hata katika makongamano yake na mihadhara ya kitaaluma ktk vyuo na maeneo mbalimbali unaweza dhania kuwa Mark huwa habadilishi nguo,kumbe ana kabati lililojaa nguo za aina moja
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK