Mwanamke Aliyepambana na Majambazi Tarime Azawadiwa na Jeshi la Polisi Kwa Ujasiri...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Picha ya Tukio Jingine
Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya yampa zawadi ya Laki tano Bi Sophia Manguye Mkazi wa kata ya Sirari wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa ushujaa wake wa kupambana na Majambazi na kufanikiwa kuwanyang'anya silaha aina ya SMG.

Tukio hilo lilitokea wakati majambazi walipovamia duka lake usiku na kumkuta ndani ambapo aliwalia timings na kuwanyanganya bunduki na kufanikisha jambazi moja kukamatwa..


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad