AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Ukiwa nje inawezekana unaweza ona mchezo ni rahisi ila ukiwa ndani ya mchezo utajua ugumu wake kiukweli hatulali kwa ajili ya hii kitu, natamani hata wewe unaye tukanaga watu ungejua ugumu wa izi mambo ungeishia kuachia mdomo wazi sisi ni kati ya watu tunaosakamwa lakini bado tunajali uwepo wenu na kuwategemea, ningependa kusema haya ni maisha ya kioo ila baada ya hapa uzee hivyo lazima tulijue hilo... #tusidharuliane" Alisema Rich Mavoko
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nyie wasanii msipende kuharibu kiswahili kwa kuiga kiswahili wanachoongea wakenya, ''izi mambo'' ndio kiswahili gani!!!!
ReplyDelete