AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Television, Ray C amesema mama yake hana amani kutokana na mambo yanayo andikwa kwenye magazeti ya udaku.
“Mimi naweza nikasema nakushtaki, wewe una hela zaidi na unaweza ukanishinda, your powerful get a gun watu wanifyatue na wampige mama yangu, maana mama yangu yupo hospitali ana presha kwa sababu ya gazeti yake,” alisema Ray.
Wiki chache zilizopita gazeti la Ijumaa liliandika habari kuwa mwanadada huyo alionekama mazingira fulani ambayo yanadaiwa kupatikana madawa ya kulevya.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ray c ukweli unao mwenyewe kama umeridia unga ila tatizo la unga tiba unayo mwenyewe dawa za hospital ni za kumaliza tu kufanya mabadiliko ya kweli ndo yatamaliza tatizo lalo
ReplyDelete