Shamsa Ford Afunguka Kuhusu Nay wa Mitego Pamoja na Mzazi Mwenzake..Adai Hana Msaada Kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Staa wa Bongo Movie, Shamsa Ford, amesema mzazi mwenzie hasaidii huduma zozote za kibinadamu kama mahitaji kwa mtoto wao Terry.

Akifunguka mbele ya vipaza sauti vya Times Fm, Shamsa amedai Baba Terry hatoi hata ‘thumni’ kwa ajili ya matumizi ya mtoto.shamsa

“Ninapo sema mi ndo baba na mi ndo mama naomba nieleweke hivyo, Terry namlea mimi mwenyewe na ndio maana nampenda sana, baba Terry hachangii chochote, anyways ngoja ninyamaze tu” Alisema kwa hisia .

Katika hatua nyingine muigizaji huyo, ameweka wazi kuwa kwa sasa hana uhusiano wa kimapenzi na Ney wa Mitego, ila wamebaki kuwa marafiki wazuri.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad