AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akifunguka mbele ya vipaza sauti vya Times Fm, Shamsa amedai Baba Terry hatoi hata ‘thumni’ kwa ajili ya matumizi ya mtoto.shamsa
“Ninapo sema mi ndo baba na mi ndo mama naomba nieleweke hivyo, Terry namlea mimi mwenyewe na ndio maana nampenda sana, baba Terry hachangii chochote, anyways ngoja ninyamaze tu” Alisema kwa hisia .
Katika hatua nyingine muigizaji huyo, ameweka wazi kuwa kwa sasa hana uhusiano wa kimapenzi na Ney wa Mitego, ila wamebaki kuwa marafiki wazuri.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK