AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu kadhaa wamenusurika kufa baada ya ndege ya Shirika la Ndege la Auric Air waliyokuwa wakisafiria kupata ajali katika Uwanja wa Ndege wa Manispaa ya Bukoba ilipokuwa ikitua na rubani kupoteza uelekeo kama inavyo onekana pichani.
Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Jijini Mwanza ,tukio limetokea majira ya saa nne asuhuhi ya leo Jumamosi April 30,2016.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
MUNGU NI MWEMA. TUNAMSHUKURU!!!!!!!!!!!!!
ReplyDelete