AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Enewz Ferooz alikanusha tuhuma hizo na kudai kuwa misongo ya mawazo ndo huwa inawapelekea wasanii kuingia katika matumizi hayo ya madawa ya kulevya na kuwataka wengine wasifanye hivyo.
Ferooz amesema kuwa “Ni mara kumi upate UKIMWI kuliko uwe unatumia madawa ya kulevya” lakini pia akaongezea kwakusema “Nawashauri watu wengine pamoja na wasanii wenzangu wasije wakajaribu kufanya hivyo”.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hawa wasanii washaona hii kitu ndo fashion, ikiwatia uchizi na kudumaza mwili hujitokeza ili kupata misaada
ReplyDeleteFerouz mungu atakusaidia fani namba one
ReplyDelete