AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Kigoma Mjini na kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe ametumia ukurasa wake wa facebook kuandika mtazamo wake baada ya Rais Magufuli kufanya maamuzi hayo .
“Uamuzi wa Rais kumfukuza kazi Waziri wa Mambo ya Ndani unatuma ujumbe mmoja – hataki mchezo. Rais amethibitisha kuwa anao uwezo wa kutumbua hata aliowateua. Ni maamuzi muhimu sana kwa Kiongozi wa aina yake. Wale vijana waliokuwa wanatumwa kumtetea wasimame kumtetea. Rais kaonyesha Uongozi ‘ no nonsense “
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hapa kazi tu Watanzania mpaka tufikie malengo
ReplyDeletemalengo yapi wewe
DeleteUnauliza malengo gani kwani wewe unaishi sayari gani au na wewe umekunywa sana
DeleteKatika watumishi wajinga huyu ndo no moja
ReplyDeleteHii Ni hatua ambayo tunapeleka picha na mtazamo halisi when we. Say. We Mean BUSINESS rather than BUSINESS As usual..NA Tunawahakikishia kwamba We leave no stone 💎 unturned..JPJM is a man 👨 of timely decisions after evaluation na haoni haya once satisfied..tunataka WAZALENDO WAAMINIFU WAKWELI WAADILFU NA WACHAPA KAZI...HONGERA BABA TUTAFIKA..MUNGU AKULINDENI
ReplyDeleteits about your comments, thats good i like it
Delete