Mwigizaji Aliyempa Denda la Nguvu Wema Sepetu Wakati Wakitengeneza Movie Afunguka Kwa Mara ya Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWIGIZAJI wa Filamu Swahilihood anakuja juu katika uigizaji Koko Byanko ametamba kufanikiwa kuigiza na msanii nyota katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu ‘Madame Wema’ Koko amemshirikisha Wema katika sinema yake aliyoitengeneza hivi karibuni.

“Nilipo posti picha nikiwa na Wema wengi walinituhumu kama natoka naye lakini ukweli sitoki naye bali zilikuwa ni picha tu za location nilizopiga naye katika filamu yangu huyu ni msanii mwenzangu tu,”

FC ilizipata picha hizo pamoja na msanii huyo kueleezea kuwa ni za filamu lakini zipo kiutata msanii huyo amedai kuwa kumpata Wema kushiriki filamu yake haikuwa rahisi kwani ilihitajika ushawishi mkubwa na gharama zake ni kubwa sana.

“Wema alipoiona script yangu ilivyo kali alikubali kuigiza katika filamu na ameigiza katika kiwango kikubwa sana nawaambia wapenzi wa sinema waisubiri kazi bora yenye mastaa kibao,”anasema Koko.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad