Ni Marufuku Kuvaa Nguo Fupi Wilayani Siha Kilimanjaro, Sheria za Viboko na Faini zimetajwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Moja ya matukio ambayo yanamake headlines katika Wilayani Siha Kilimanjaro ni pamoja na adhabu zinazotolewa kwa wale wanaovunja sheria, kingine ni kwamba kijiji cha Sanya Hoye kimepitisha adhabu ya faini ya Shilingi 50,000 pamoja na viboko 15 kwa atakayekutwa baa na mtoto mdogo au kuvaa nguo fupi.

Mwenyekiti wa kijiji cha Sanya  Hoye, Moses Mnuo ametoa ufafanuzi wa maazimio waliyokubaliana katika kikao cha kijiji cha Sanya Hoye………

‘Tumepitisha sheria kwa mtu yeyote anayevaa nguo fupi kwa watoto wa kike ni marufuku tangu siku ile ya kikao kile, wanawake hao wanapotembea hapa usiku wana ajenda walizonazo wanafanya machafu yao kwa hiyo tutawapiga faini na hizo hela watapewa risiti’ Sikiliza Hapa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sawa sawa hizo Ni bylaw kutusaidia kujenga utamaduni na maadili ya kitanzania .heshima itakuja na maadili yatafatwa na hata wabunge WA vizazi vijavyo watakuwa na nidhamu na maadili ..Hongera kwa uamuzi sahihi.. Haki mnayo kufanya bylaws ikiwa wazee na watu wazima ammeafiki hivyo . Nakuungeni mkono ..na nikoa na vijiji vingine inafaa kuiga mfano huu nzuri WA kimaadili nna uungwana.

    ReplyDelete
  2. Hahahaa msipate tabu saana nendeni dipu kwenye uislam maana haujaacha kitu.

    ReplyDelete
  3. Hongera wana Siha.. ndiyo inavyotakiwa!! mmeona mbali..leo mkiwadhibiti vijana..kesho tutakuwa na Taifa lenye maadili na heshima hata magonjwa yanayo sababishwa na uzinzi na uasherati yatapungua kama si kutoweka kabisa..Mikoa mingine pia inafaa kuiga mfano huu wa kimaadili

    ReplyDelete
  4. Hongera wana Siha.. ndiyo inavyotakiwa!! mmeona mbali..leo mkiwadhibiti vijana..kesho tutakuwa na Taifa lenye maadili na heshima hata magonjwa yanayo sababishwa na uzinzi na uasherati yatapungua kama si kutoweka kabisa..Mikoa mingine pia inafaa kuiga mfano huu wa kimaadili

    ReplyDelete
  5. Hongera wana Siha.. ndiyo inavyotakiwa!! mmeona mbali..leo mkiwadhibiti vijana..kesho tutakuwa na Taifa lenye maadili na heshima hata magonjwa yanayo sababishwa na uzinzi na uasherati yatapungua kama si kutoweka kabisa..Mikoa mingine pia inafaa kuiga mfano huu wa kimaadili

    ReplyDelete

Top Post Ad