AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku za karibuni kulikuepo na tetesi kua kuna ugomvi mkubwa kati ya Wema Sepetu na Petit huku chanzo kikiwa hakijulikani. Ikafikia hadi Mirror, msanii aliekua chini ya Petit Man kutangaza kua kwa sasa Petit si meneja wake tena na kwa sasa Mirror yupo Benet sana na Wema.
Baada ya mashabiki kumuuliza Wema kuhusu ishu ya Petit Wema alikua mkali na kuongea maneno mengi ambayo ukiyasikiliza utagundua kua wawili hawa sasa hawapikiki chungu kimoja. Mtizame Wema akifunguka hapa chini....
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ili kweli malaya linajifanya alijui kiswahili nyoooo viguu vembambaaaa kama chemri
ReplyDeleteLinajifanya halijui kiswahili wakati limezaliwa na kukulia bongo tena uswazi tu. Limama lake zanga tu. Sema siku hizi malaya wengi wanajifanya kiswahili kina wapa tabu. Kama yule murder wa Kanumba. Kila akisema maneno mawili utamsikia "you understand". Ptuu. Wauza nyapu
ReplyDelete