AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Juzi jtano tulianza safari ya kuja Sumbawanga toka kwa lengo la kumtembelea Wankota Binti Shujaa asiekata Tamaa kirahisi wala asieogopa changamoto, na pia ilikuwa tukitoka kwa Wankota, ni safari ya kwenda Mbeya kufanya kampeni ya Mwanamke Piga Kazi kesho jmosi kisha ndo tugeuze kurudi dar….. Leo mapema ndo tumeingia Sumbawanga, lakini kwa bahati mbaya tumepata Ajali tukiwa kijiji cha pili toka kwa kina Wankota….yaani tulikuwa tumebakiza km 20 kati ya km1500. Tunamshukuru Mungu sana tumepona maana ndo kikubwa,” Joyce ameandika kwenye ukurasa wake mtandaoni.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Pole lakini mbona kama ajali ya kisanii, mpaka wamepata muda kushoot jinsi madam anavyosaidiwa kutembea
ReplyDeleteSuperwoman wa Wanawake , Elimu za Tanzania hizo , unafanya mchezo na UPE nini ?
ReplyDelete