Kama CCM itamrudisha Kinana, Mapungufu ya Mashinji wa CHADEMA sasa Kuonekana Dhahiri

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni muda sasa kumekua na fukuto kutoka kwa wana CCM wakitilia shaka utendaji kazi wa Mashinji jambo ambalo tumekua tukilipuuza na nakulipinga aidha kwa makusudi ama tukifahamu kinachosemwa ni kweli ila tumeamua kupinga tu.

Ni kweli kwamba adui hawezi kukueleza udhaifu wako lakini si wakati wote kwani kinachotokea sasa ni chama kuchekwa kwa makosa ya kumteua mtu ambaye anapolinganishwa na Dr Slaa anaonekana kupungukiwa na vingi sana kisiasa.

Licha ya kua tunapinga ila mpaka sasa sisi kama chama bado hutajampata mrithi wakufanana na Dr Slaa hivyo kujikuta kwa sasa chama kinakosa mbinu na mikakati yakujipambanua nakujitangaza kwa wananchi.

Kama CCM watamrudisha Kinana kwenye nafasi yake hapo ndipo tutaacha ubishi kwani kwa uzoefu na mikakati aliokua nayo Kinana ni muda mfupi sana hakuna atakae bisha tena juu ya kupwaya kwa Mashinji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad