Magufuli Ashindwa Kumtumbua Kinana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

ABDULRAHAMAN Kinana, amekubali kuendelea na wazifa wake wa katibu mkuu.
Taarifa zinasema, Kinana ataendelea kutumikia wazifa huo hadi kufanyika uchaguzi mkuu ujao, Novemba mwaka kesho.

Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa gazeti hili, wengine watakaobaki kwenye nyazifa zao, ni Philip Mangula na manaibu makatibu wakuu wote- Bara na Zanzibar.

Habari zinasema, “uamuzi wa kumbakisha Kinana kwenye nafasi yake, haukuwa wa Magufuli. Ni shinikizo la viongozi wakuu wa CCM wakiongozwa na Benjamin Mkapa,” anaeleza mmoja wa viongozi wandamizi wa chama hicho.

Chanzo:Mwanahalisionline
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad