AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muigizaji huyo ambaye hivi karibuni amefanikiwa kushinda tuzo ya mwigizaji bora wa kiume kwenye tamasha la Ziff 2016, ameiambia Times FM kuwa hakuna mahusiano yoyote ya kimapenzi yatakayotokea kati yake na Faiza.
“Faiza namjua kama producer wangu, amenishirikisha kwenye filamu yake ya Baby Mama Drama. Hakuna chochote wala hayatotokea mahusiano ya kimapenzi kati yetu,” amesema Gabo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sungu hauguwi wala mshipa na kiuno havimgongi
ReplyDeletePigeni hata mko beach na vibikini
Oa bwana mke mzuri huyo mmependezana sana... Kwani sugu na yeye si ana wake tayari, hofu ya nini sasa!?
ReplyDelete