Mwanamuziki Shilole Adaiwa Kumfanyia Figisu Nuh Mziwanda Asiendelee Kimuziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

KUNA tetesi kuwa mwanadada asiyekauka kwenye ‘media’ ambaye pia anafanya Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amemuundia jeshi aliyekuwa mwandani wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kuhakikisha linamfanyia fujo mara kwa mara ili asiishi kwa amani wala kufanya vizuri kimuziki.

Baada ya tetesi hizo kuenea, Burudani Mwanzo Mwisho (BMM), lilimvutia waya Shilole ili kufungukia madai hayo na alipopatikana ‘aliwaka’ na kudai hataki kumzungumzia Nuh wala hajui lolote kuhusu madai hayo.

“Sihitaji kabisa kuzungumza ishu yoyote kuhusu huyo mtu, niacheni kabisa na wala sifahamu lolote kuhusu madai hayo,” alisema Shilole.

Alipotafutwa Nuh, alisema amesikia ishu hiyo lakini anaamini haitafanikiwa kwani Mungu anampigania.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad