AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa wilaya Bi.Chonjo ametoa tarifa hiyo wakati wa wito wa dharura kwa waandishi wa habari ambapo amewataka wananchi wote wa wilaya ya Morogoro kutoa tarifa katika vyombo vya dola wanapoona watu wasiowafahamu na matukio yanayoashiria uvunjifu wa amani.
Aidha amewataka wamiliki wa vyumba za kulala wageni na kumbi za starehe kuwa makini na wageni wanaoingia na kutoka huku akiwataka wenyeviti wa vjiji,mitaa pamoja na watendaji wote kufanya jitihada za kuwatambua wageni wote walioko katika maeneo yao.
Kwa upande wao baadhi ya wakazi wa wilaya Morogoro wameomba Jeshi la Polisi kuimarisha ulinzi katika kituo cha mabasi cha Msamvu pamoja na maeneo ya sokoni kwani ndiyo maeneo yenye mikusanyiko ambayo haiwezi kuzuiliwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mtu mzima hovyo
ReplyDeleteMkuu wa wilaya kutangaza hali ya hatari
Mpuuuzeeni huyu bi mkora kazembe sura , umri hadi akili
Wewe bibi unajua intelinjisia wewe
ReplyDeleteVyeo vya fadhila utavijuwa tu
Bi mkubwa mkorogo naona umekukubali kweli