Mwanamke amkuta mumewe akishiriki ngono na mbwa wake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamke mmoja amepigwa na butwaa baada ya kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa wao nyumbani Spring Valley, Nairobi

–Inasemekana mwanamke huyo alikuwa amezuru mashambani kupeleka watoto ambapo alirudi nyumbani Nairobi bila kutarajiwa

Mwanamke mmoja alielezea kisa cha kushtua baada ya kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa nyumbani, Spring Valley, Nairobi.

Mwanamke huyo aliondoka nyumbani Jumamosi Agosti 20, kuelekea mashambani Gatanga kupeleka watoto wao.

Walikuwa wamekubaliana na mumewe kuwa angekaa wikendi na wazazi mashambani, hasa baada ya kuacha amemtayarishia chakula mwanamume huyo.

Hata hivyo, alirudi nyumbani ghafla baada ya kukumbuka alikuwa ameacha dawa za mmoja wa watoto wao.

Lakini baada ya kufika nyumbani alipigwa na butwaa baada ya kuingia ndani ya chumba chao cha kulala na kumpata mumewe akishiriki ngono na mbwa wao!

Baada ya kupatikana, mwanamume huyo alivaa nguo haraka na kuondoka nyumbani mara moja, bila kusema chochote!
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad