Diamond Hongera Kwa Kumpata Zari Lakini Nina Duku Duku Moyoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jamani tunajua Dada zetu wabongo kichwani Hamna kitu, wanawaza starehe tu na hawapendi maendeleo wala kujituma kama zari, tunajua zari yupo smart kichwani anajielewa, pengine kutokana na malezi na exposure aliyoipata ya kutembelea nchi mbali mbali, hivyo ni dhahiri upeo wake wa kufikiri ni mkubwa zaidi kuliko Dada zetu hawa bongo movie na bongo flavor, na namsifu zari kwa kweli japokua Ana ka cv kabaya ila sijawahi kumsikia akiwa na scandal za wanaume toka kawa na diamond, achilia mbali mashauzi na dharau ambayo yanaweza kutokana na malezi au hali ya kimaisha, kwa hilo tu nampongeza zari kwa kuficha aibu ya kaka yetu ambaye alikua akiitwa tasa kila siku(ikiwemo Mimi)

Tukija upande wa pili, ina maana diamond wanawake wote wa bongo ni ****** kiasi hicho mpaka uende ng'ambo?? Sitaki kuamini ujue, mi roho inaniuma ujue?? Mjengo wote ule umeenda kwa waganda? Maana mama teeh hataki ujinga Yule na hacheki ovyo na watu, hata kuja kwako mashabiki tutashindwa ujue maana mwanamke hana ushoga wala ujirani na mtu khaaa ,kama Salome tu alisahau hereni wakati mkifanya shooting kaumbuliwa vile hadharani haya sie majirani ya madale tukija tukasahau viatu si ndo vitatangazwa snapchat nzima?? Waah hapana kwa kweli

By Warumi/JF
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi

    ReplyDelete
  2. Kwani wako Duka Gani ile ni sasungi au Hitachi..Au labda National. kwa nchi ngapi?
    Sema lebo ni ya eli gii.

    ReplyDelete
  3. Mwandishi
    Msenge kama Domo limbukeni
    Mnafirwa wote

    ReplyDelete

Top Post Ad