IDRIS Sultan Ampiga Dongo Diamond, Adai Amepoteza Control Kwa Wanawake zake Mpaka Mambo Yanamwagika Ovyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama huwezi utani basi jiweke mbali na Idris Sultan kwa kuwa ipo siku unaweza kujikuta ukifanya kitu usichokitarajia.


Mchekeshaji huyo ameandika ujumbe wa utani kwa Diamond na Zari kwenye mtandao wake wa Instagram baada ya hivi karibuni kusambaa kwa taarifa kuwa First Lady huyo wa WCB alikuta hereni kwenye chumba cha Diamond ikionekana kuwa alimsaliti na mwanamke mwingine.

Ameweka picha ya Remote Control iliyoandikwa Woman Control na kuandika haya:

“Ndio imeingia na DHL @diamondplatnumz nakupitishia hapo maana umepoteza control mambo yanamwagika hovyo mara hereni ulizisimamia kama kangaroo,” ameandika Idris kwenye picha ya remote aliyoiweka kwenye mtandao huo.

Hakuishia hapo Idris amempongeza Zari The Bosslady kwa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kuweka picha ya hereni kwenye mtandao huo na kuandika ujumbe unaosomeka, “Happy birthday @zarithebosslady 😅.”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad