Lulu Diva Amdhalilisha Tiffah Wa Diamond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Video queen matata Bongo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ anadaiwa kumdhalilisha mtoto wa Mbongo Fleva anayefanya vizuri kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Latifa ‘Tiffah’ kwa kumuita mbwa wake jina Shikiki, ambalo pia ni jina jingine la utani la mtoto huyo.


Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, mrembo huyo amemuita mbwa wake huyo jina hilo, kitu ambacho kimetafsiriwa na wengi kama ni kumdhalilisha mtoto huyo wa staa mkubwa Bongo.

“Jamani Diva anatafuta matatizo makubwa na D i a m o n d , kwanini kampa mbwa wake jina kama hilo ambalo pia huwa linatumiwa na Tiffah? Ana hatari sana,” kilisema chanzo chetu.

Gazeti hili lilipomtafuta Lulu na kumuuliza kuhusu ishu hiyo, alisema ni kweli mbwa wake anaitwa Shikiki lakini hakuwa akijua kwamba mtoto wa Diamond, jina lake lingine ni hilo.

“Jamani mimi sikuwa najua kabisa kama Tiffah, jina lake lingine ni hilo, mimi nilimpa tu kama watu w e n g i n e wanavyowapa m a j i n a mbwa wao,” alisema Diva.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. siyo huyu alisema kuwa Wizkid angemkaribisha Nigeria? Vipi mbona safari haikuwepo? au Wizkid hakujui? au alikudanganyaga?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Anatafuata kik huyo. kwanza kakomaa!!!!!!!! miguu kama ngongoti

      Delete
  2. LILA NA FILA HAZITANGAMANI"MPO HAPO MABINTI?

    ReplyDelete
  3. LILA NA FILA HAZITANGAMANI"MPO HAPO MABINTI?

    ReplyDelete
  4. NI KWELI, YAANI ANALAZIMISHA UMAARUFU

    ReplyDelete
  5. Shikiki ndio nini?? Sio yeye tu hata akina siye hilo jina jipya kwetu...........

    ReplyDelete

Top Post Ad