Pamoja na Drama Zote Alizompa Sugu...FAIZA Ally Anampenda Mbunge Sugu Kupindukia...Soma Alichoandika Hapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa filamu, Faiza Ally wakati inaelekea siku ya birthday ya mtoto wake Sasha, amefunguka na kueleza yamoyoni juu ya baba watoto wake, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’.
Sugu na Faiza


Mwigizaji huyo ambaye anajipanga kuachia filamu yake mpya ‘Baby Mama Drama’ amesema ataendelea kumpenda Mh Sugu kwa kuwa bila yeye asingekuwa mama kwa sasa.

“Nakumbuka 2012 wakati kama huu nilianza kuumwa uchungu wako mwanangu. Yaani nilikua na raha toka siku baba yako aliyoniomba tuzae nilianza kukupenda kabla sijapata mimba. Nilipo pata ndio uwii nilikua natamani siku ifike tuonane mwanangu sasa ndio nika zidi kumpenda baba yako vibaya sana Hahhahahah,” aliandika Faiza Instagram.

“Nakumbuka siku moja na tumbo kubwaa baba yako akaniangalia nilikua na chupi tu hahaha nilikua niko bize nampangia nguo zake kabatini akaniambia sister du nime kukomesha nikamwambia aawapiiii huja nikomesha nafurahi Kila step ya mimba yangu. Sasha Mpenzi wangu stori ni nyingi sana siwezi kumaliza. Kiufupi tu toka Kwenye mimba yako nilikua na furaha sana mpaka siku nilio kupata.Mpaka leo na mahaba ndio yanazidi juu yako mwanangu. Baba yako ndio Kabisa nampenda mpaka sijielewi Kila niki kuangalia najua bila yeye leo hii nisinge kuwa Na furaha hahahahaaa tulishirikiana kitendo tukakupata naachaje kumpenda hehehehee. Asante baba Sasha Kwa kunifanya niwe mama. Mungu akubariki katika Kila unalo fanya uendelee kuwa hai mwanangu aendelee kuwa na baba yake, Asante dogo#asante sugu#Asante Joseph #asante mei Asante baba Sasha … Hatujaonana zaidi ya mwaka#hatuja ongea zaidi ya mwaka lkn haijawahi kupita siku sija kuzungumzia na sijawahi kukuacha kukupenda baby daddy… Nakupenda Leo#kesho Na siku zote 😉. Sasha birthdays loading,” alifafanua zaidi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. alikuwa wapi zamani aache mapuuza hayo

    ReplyDelete
  2. Duuuh hebu nifundisheni jamn mtu unawezaje kumpenda mtu kiasi hiki..mi siwezi eti mapenz yakiisha yameisha hata kama tulipata watoto 100 pamoja..wen i say we r done...ndo imetoka hiyoooo tutabak kushirikiana kulea tuu lakin sio upuuzi wa kupendana upya..

    ReplyDelete
  3. Yes acheni ampende ni mzazi mwenzie na ndiye aliyesababisha akaitwa Mama....na kwanini wa Africa tunapenda watu wakiachana basi kuna kua na magovi na chuki....kwani mkiachana kwa amani na kila mtu akafanya yake maisha haya songi....acheni hizo kasema kweli alinampenda na sababu kazitoa....cha ajabu nini...

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hujui hata unachozungumza wewe hv wewe unaona ni kawaida kwa huyu dada nan kasema wameachana ugomvi...we huon huyu dada mara amdhalilishe mbunge leo atasema sugu ni mfiraji kesho atakuja atalia nampenda we unaona kuna upendo wa kweli hapo au kachanganyikiwa kama wlishaachana akae kimya afuate mambo yake mbona sugu hamuongelei huon anaugua ukichaa huyu...leo atasema sugu hatoi hela sugu msenge sijui sugu hv kesho atakuja tena nampenda sijui nyoko sijui fyoko...grow up faizaaa yo such a bastard.....OVER!!!!!!

      Delete
  4. HUWEZI JUA THAMANI YA SHILINGI MPAKA ITUMBUKIE CHOONI"

    ReplyDelete

Top Post Ad