AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivo kwa mujibu wa wapenda umbea mjini aka team chambua kama karanga waliweza kuzichambua hereni hizo vizuri na kubaini kuwa zilishawahi kuvaliwa na mwanamitindo maarufu nchini Hamisa Mobetto(pichani) aka SALOME.
Huenda hii ikawa habari Kali kwa wiki hii, hata hivyo bado Zari hajafunguka chochote kuhusu mmliki wa hereni hizo, wala Hamisa bado hajazungumzia chochote kama ni kweli uchafu huo (kama alivyoita Zari) ni wake au sio
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Can you people be normal kuweni kama mungu alivowaumba than kila kitu fake mudanganya nafsi zenu kwa kuvaa ma
ReplyDeletewigi kucha fake kope fake yani uzuri. Sio wakuzaliwa
Uchafu ulionao wewe si wala wakukaribiwa na naseeb najisi kabisa pili kwani umemnunua naseeb ukiwa nae ndani ni wako na akiwa nje wa wezako so grand ma jipange upya wacha kutapatapa
ReplyDeleteJamani ile si Tanzanite. aliichukua akaiweka mfokoni kuogopa isiibiwe labda aliisahau alivyo badilisha jinzi!
ReplyDeleteMmh
ReplyDeleteHahahah,,, huyo hapo juu kajiabisha,, "ety akiwa ndani ni wako nje ni wa wenzio" katafute nawe wako umuweke ndani acha umalaya, njoo hata kwangu kama kinakuwasha acha wame za watu ,, awe mzee asiwe mzee kwenye mapenz wote watoto ndo maana utasikia majina huitana bebyy ,, honey ... Wenye wivu wajinyonge tena kwa minyororo
ReplyDeletewewe anonymous 9:56 ur so stupid i think ur zero on understanding at huyu hapo juu kaijiabisha there's nothing like that huo ni ukweli kabisa wake up
ReplyDelete