AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Ali Kiba amekataa nyumba inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikuhusishwa na yeye na kusema bado anaishi kwenye nyumba ya kupanga na hata kama alikuwa amejenga nyumba hawezi kufanya show off:
Msikie Hapa:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ni ushamba kujitangaza tangaza, ooh na hili au lile, hii yote ni kwasababu yakutoka kwenye umasikini, ukipata unataka kila mtu ajue, BIG UP KIBA!
ReplyDeletehuo ndio ungwana kutangaza kwa hakika sio vizuri huwezi kujua na mwema wako nani muovu wako wako wengi wasio pende maendeleo ya wenzao so its not good pili ni kama ushamba limbukeni King Kiba underatands
ReplyDelete