Mr Bond Amjibu Auntylulu ' Nilipokuwa na Wewe Ulinikondosha Kwa Kero Nikawa Kama Mbuzi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bond Amjibu Auntylulu kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Ameandika haya hapa chini baada ya Aunty Lulu Kudai alimuokota jalalani, kumlea na kumtafutia kazi ya kufanya Dar es Salaam..
____
From bond_bin_sinnan 
"Dah hii dunia hii jamani, Huyu nae sijui anamuda mrefu hajatoka kwenye magazeti?
Eti Leo anafufuka na kumtukana mke Wangu eti ameniiba mimi..
Hahahaha we Lulu wewe hebu muogope mungu wako wewe. Hivi una muda gani hata sura yangu hujawahi kuiona ? Zaidi ya miaka minne hata kuniona hujawahi Leo unaanza kuleta shida kwa mke Wangu.
We siunapenda umalaya na pombe sasa zimekukifu eti ndo unaamka usingizini? Basi kama umeamka Leo fahamu tulishaachana kitambo sana na Nina mke Wangu nampenda sana anaitwa Wastara
Naomba umuache ale raha kwa uwezo wake we subiri Global wakupe kiki upate mabwana wapya.
Nilipokuwa na wewe ulinikondosha kwa kero nikawa kama mbuzi wa sadaka mpaka kuku walinikimbia. Leo mtoto wa kiarabu ananisinga nang'ara navutia mpaka unanitamani tena unifuje. Hebu niache nipumue
Maskini sijui ndo uzee unakusumbua hahahaha.. Uwiii aleyo bhagosha lelaha le pogopogo lya bhose nzogi mlyee" Ameandika Mr Bond

Mr Bond na Mpenzi wake Mpya Wastara Juma

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Aunt Lulu huyo rafiki yangu wa zamani kula bata bibie kwa raha zako uko kama mimi hapa nakula bata Ulaya mambo ya bia na wine kila siku

    ReplyDelete

Top Post Ad