AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jana iliripotiwa kocha huyo ameshatua jijini Dar kwa ajili ya kumaliza taratibu za kukabidhiwa mikoba kutoka kwa Mholanzi Van Pluijm, lakini taarifa iliyopo sasa ni kwamba, Lwandamina tayari amesaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha klabu ya Yanga.
Awali ilielezwa kuwa, baada ya kocha huyo mzambia kupewa majukumu ya kukinoa kikosi cha Yanga, Pluijm atakuwa Mkurugenzi wa ufundi wa mabingwa hao watetezi wa taji la VPL. Taarifa zilizopo ni kwamba klabu ya Yanga itamleta Mkurugenzi wa ufundi kutoka nchini Ureno.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Njia nyeupe ubingwa kwa SIMBA sasa.
ReplyDelete