Nay wa Mitego Adai Wema Sepetu ndiye Aliyemfilisi Idris Sultan (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki wa hip hop Nay wa Mitego ameanza kuitupia madogo kambi ya malkia wa filamu Wema Sepetu kwa kudai mwigizaji huyo ambaye zamani alikuwa mpenzi wa Idris Sultan ndiye aliyemfilisi mshindi huyo wa BBA 2014.

Rapa huyo ambaye yupo kimya kwa sasa, alipost video katika mtandao wake wa instagram akieleza ni kwanini mshindi huyo wa BBA 2014 alifilika.

“Huwa najiuliza kitu kimoja ni mwanamke gani amemaliza mahela ya Idris?,” aliuliza Nay kupitia video hiyo. “Ni yule Msouth au madam (Wema). Mimi nadhani atakuwa madam maana madamu ni mtu wakukwarua mahela mengi, tena kabla hajatua Tanzania walimwambi, huku nyumbani kuna wanawake wacheza sinema maharamia wakikukamata na hizo hela utajikuta huna hata mia,”

Kambi ya malkia huyo wa filamu haijajibu chochote juu ya tuhuma hizo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad