Ukweli Unauma, Hizi Ndio Sababu Zilizotufanya Watanzania Tukakosa Tuzo MTV Awards

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ngoja Niongee Leo Hii.
Watu Wengi Wamekuwa Wakijiuliza Why Tumeshindwa Huku Wakipeleka Lawama Zote Kwa Teams Bila Hata Kuchambua KwA Kina.

KwA Upande Wangu Na Akili Zangu Hizi Hizi Za Insta Ni Wengi Mno AmbaO Wanaingia Katika Kusababisha Hili KwA Namna Moja Ama Nyingine.

1. Watu Wa Kwanza Kabisa Kuchangia Kukosa KwA Tuzo Ni Wasanii Wenyewe. Wasanii Wamekuwa Wanafiki Sana Sana. Naomba Nihakikishie Direct Hii, Hivi Bongo Kuna Wasanii Wawili Tu? Au Ndio Ile Hawana Management Nzuri?? Ifike Time Muache Ubinafsi, If Unaamini Mungu Anampa Kila Mtu Ridhiki Yake Then Acheni Uchoyo WA Kuwaambia NA Wenzenu Process Za Kuwafikisha Katika Mashindano, Tell Them What They Suppose To Do, Wingi Wenu Katika Categories Utasaidia Pia Kuwanyanyua, Usiniambie Bongo Kiba Na Mondi Tu Ndio Very Best Artist, Narudia Kama Unajiamini Ridhiki Yako Ipo Just Tell Na Wengine Nini Wanatakiwa Kufanya Wafike Hapo. Rayvanny Kama Asingekuwa WCB Am Not Sure Kama Angekuwa Katika Kipengele Chochote, Too Bad Namshangaa Kiba Why Abdu Kiba Bado Yupo Nyuma Tu Hafiki Popote. Hebu Mjifunze Kubebana Sana.

2. Teams ,This Is The Worse Part Dah!! Sitaki Hata Kufikiria Mara Mbili, But Mmeshawahi Hata Kujiuliza Wanapata Wapi Nguvu Zote Hizo?? KamA Utajiuliza Hili Swali KwA Kina Utajua Kuwa Wasanii Wenyewe Hapa Wanarudi Tena Humu Humu Katika Teams, Wao Ndio Vichocheo Vikubwa Vya Jeuri KwA Hizi Teams, We Know Kila Mtu Ana Njia Yake Ya Kutafuta Ugali Mezani, Ila Ifike Muda Kama Kweli Mnataka Uzalendo Make Sure Mnavunja Team Za Kibaguzi, Unajua Hata Wasanii Wakubwa Nje Wana Teams Zao (Tena Kuna Tuzo Wana Mpaka Category Team Ya Nani Ni Strong Team) Rihanna Navy Ya Rihanna, Beyhive Ya Beyonce, Swifties Ya Taylor Swift, Arianators For Ariana Grande, Selenators Hawa WA Selena Gomez, Dah Guys Wako Wengi Tu, Ila Hawa Wanaongoza Kununua Kazi Zao, KutoA Support Za Shows, Bidhaa Zao NA Kadhalika, Sisi Ni Mitusi Tu Mwanzo Mwisho, Mitusi Tu.

3. Media Hawa Unaweza Kuwaona Hawamo Ila Trust Me Hawa Watu Nao Kwa Namna Moja Ama Nyingine Wanachangia, Wanachangia Sana, Ifike Time Na Wasanii Wengine Wapewe Support,

Pamoja Na Kulalamika Kooote Wabongo Turudi Kwenye Ukweli Hivi Kweli Diamond Angemshinda Wizkid?Vanessa Amzidi Yemi Alade Na Rayvan Ampite Tecno. Nah Hapana Tuwe Wakweli At Once.

Tunajiliwaza Lakini Ukweli Ni Kwamba This Time Tulibanwa Mno, Vanessa Ana Ngoma Gani Ya Kumpita Yemi?? Nyimbo Mbili Za Rayvanny Ampite Techno Na Ma Wash Yake Sijui Maduro?? Diamond Tuzo Zilizopita My #1 iliweza Kumbeba, Mwaka Huu Alikuwa Na Kipi Cha Kumpita Wizkid?? Pamoja Na Kura Zote Na Yote Tunatakiwa Kukubali Mwaka Huu Tulibanwa. Who Knows YaMoto Band?? Where In Africa Wamefanya Hata Show, Kiukweli This Time Hatukuwa Na Lolote. (Najua Tutakataa Kuukubali Huu Ukweli)
Tatizo Wabongo Tunajiona Sisi Ni Wakubwa, Kiukweli Bado Tuna Safari Ndefu, Wizkid Sio Mwenzetu, Kiba Na Diamond Hawamgusi Hata Robo Ana Mashabiki Africa Nzima Na Nje Ya Africa.

Diamond Asubiri Mwakani Wimbo Wake Na P Square Una Nafasi Kubwa Sana YA Kumpa Tuzo, My #1 Na Nana Zilimbeba Sana, Ila Baada Ya Hapo Kiukweli Alikuwa Na Nyimbo Za Kawaida Za Wabongo Na Sio Nyimbo Za Tuzo Kubwa.

Kiba Japo Hakuwepo Direct Katika Nominee, Ila Kajitahidi As An Artist Kwa Show Yake, Amefanya Poa Performance Japo NAe Pia Anabezwa. For Now Sasa Ndio Tuonyeshe Huo Uzalendo, Kumuombea NA Kupiga Kura Ile Tuzo Ile MtvEMA Ije Home.

NINI KIFANYIKE
Wasanii Wetu Needs To Go Outside, Wanatakiwa Waanze Kupiga Shows Across Africa Countries, Isiwe Tu Shows Wanazoalikwa Ulaya. Leo Hii Wizkid Anakuja Tz Kupiga Show Coz Hapa Tz Ana Mashabiki, Plus Nchi Mbalimbali Za Africa Anazokwenda. Nina Hakika Katika Hizo Tuzo Wapo WaTz Kibao Waliompigia Kura, Tukiacha Hizo Mateam But As Fans Wake From Tz.
Mziki Wetu Unakuwa Yes, Lakini Tutoke Pia, Tupige Shows Africa Na Itasaidia Kukuza Jina, Soko Na Kujitangaza.

Hayo Yoooote Yakishafanyika Sasa Ndio Tuje Katika Kura, Na Narudia Teams Sio Shida Kama Tutajua Jinsi Ya Kuzitumia NA Sio Kusambaza Chuki, Hata Ulaya Wana Teams (As Mentioned Mwanzo) Team Zetu Zinakosa Uzalendo, ZinaendekezA Chuki Hata Katika Mambo Ya Msingi.
Tunashukuru 5 nominations, Ni Jambo La Khery, Hata Appearance Ya Idris NA Navy Kenzo. Tupo Pazuri, Next Year Tuwe Na 10 Nominations

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wakoseee tu woteer maninaaaa kwani zinatusaidia nn hizi tuzo zinaniletea chakula nyumbani kwangu zinanilipia bima ya afya...tz ipo kwenye raman ya dunia since then inatosha....hawa wakachambe wakalale...am done...

    ReplyDelete
    Replies
    1. Duh! Najua unajipa moyo, lakini sio 'kwa povu' hilo......hahahaha hebu tuma salamu kwa uwapendao kisha uchague wimbo wa kusindikiza salamu zako..............

      Delete
  2. Jamani kiwango chao ni kidogo wamekalia majungu na hizo team zao.

    ReplyDelete
  3. Mwandishi hiyo ndiyo mipigo gani ya kuzichanganya herufi kubwa ndogo mahala pasipo takiwa?Lugha siyo lelemama hata kama ni lugha yako ya taifa

    ReplyDelete
  4. Masuala mengine ni kupoteza wakati kwa sababu tuzo hizo hazisaidii kitu chochote kwa jamii ila kwa mshiriki labda na timu yake. Wangekuwa wanatanguliza wanachokipata wakachangia maendeleo ya jamii basi tuzo hiyo ingekuwa na maana.Maslani nauli waliyotumia kwenda kwenye mashindano hayo na ghalama mbalimbali zingeweza kuwasaidia wenzetu wengi waliopatwa na maafa ya tetemeko la ardhi na hata watoto na watu mbalimbali wanaoomba msaada wa matibabu kwa afya zao kwenda mlama huku wakiwahawana uwezo wa kujihudumia. Ninachokiona hapa ni kuwa mashindano haya yanachangia kuleta utengano na baadhi ya watu kujiona wao ndiyo wao tu. Nakubaliana na wenzangu waliochangia kuwa kuna haja ya kuwaona wasanii wengine badala ya wale waliozoeleka hili nao waweze kutoa mchango wao katika tasnia ya muziki wa kitanzania, naamini vijana wenye vipajiwapo wengi ila tatizo ni uoga wa waliowatangulia kufanikiwa kuwa uenda wakabwagwa na hao chipukizi. Hakuna haja ya kuogopa kwani ni sawa na wewe kufurahia kuishi halafu ukachukia kifo, haina jinsi ukiishazaliwa ujue na kufa ni lazima. Wachukulie mfano huu kama dira ya maisha yao kwani ukishinda leo ujue kesho au keshokutwa utashindwa tu na ndiyo mpango wa maisha.

    ReplyDelete

Top Post Ad