ALI KIBA na Producer Abydad Waingia Katika Mgogoro Mzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Pengine aje inaweza ikawa nyimbo ya mwisho ya alikiba chini ya producer abydad ambaye ametengena nyimbo kadhaa za alikiba.

Abydad ambaye ametengeza hit kama #nagharamia #chekecha na #aje ambazo zilifanya vizuri Sana.

Hivi karibuni ilikuwa inatarajiwa kuachiwa #aje remix ambayo ilipangwa kuachiwa November 29 siku ya birth day ya alikiba,

Lakini habari zinazoendelea kusambaa ambazo zilianza Kama masihara ila kwa sasa zinaanza kuaminika kutokana na taarifa za watu wa karibu,

Ni kwamba abydad ndo anayechelewesha kutoka kwa aje remix na mpaka sasa amekataa kutia sahihi yake kwenye mkataba ili ngoma iwe released.

Abydad anataka 50%/50% katika nyimbo ya aje ikiwemo katika show iTunes na mapato yatakayo patikana abydad anataka nusu kwa nusu.

Kuna taarifa kwamba wcb wanamrubuni abydad ili aachane na kiba japo taarifa hizo sio confirmed
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. binadamu mbona hivo majungu ndio kwenu hata iweje Mungu mkubwa King mungu atakulinda na shari A binadamy wenye roho za korosho

    ReplyDelete

Top Post Ad