BEKI Aliyenusurika Ajali Ya Ndege Iliyowaua Wabrazil Aanza Kutembea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Alan Ruschel, aliyesalimika kwenye ajali ya ndege iliyoua watu zaidi ya 70 wakiwemo wachezaji wa timu ya Chapecoense ya Brazil ameanza kutembea.

Ruschel ameanza kutembea kwa msaada wa mmoja wa madaktari na amewatumia salami mashabiki wa Chape na familia yake kwamba anaendelea vizuri.


 Beki huyo wa Chape amekuwa akiendelea kupata matibabu baada ya kuvunjika mifupa kadhaa mwilini mwake.

Wakati Ruschel anaendelea matibabu katika Kliniki ya Somer Clinic katika mii wa Rionegra, Colombia, miili ya wachezaji wa Chape ilirejeshwa Brazil kwa ajili ya mazishi.


Walipata ajali wakiwa njiani kwenda Medellin nchini Colombia kucheza mechi ambayo mwisho, imeamuliwa timu hiyo ipewe ubingwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad