MAOFISA wa Man United Waanza Kukerwa na Tabia za Kocha Mourinho

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Maofisa wa klabu ya soka ya Manchester United inasemekana kwamba wameanza kuchoshwa na mwenendo na tabia za kocha wao Jose Mourinho.

Mourinho alisimamishwa kuwepo katika benchi la ufundi ikiwa ni baada ya kutolewa dimbani na muamuzi Jon Moss walipomenyana na West Ham kwenye Ligi Kuu, Mourinho alitolewa baada ya kufanya kitendo cha kuipiga teke chupa akipinga mchezaji wake Paul Pogba kuoneshwa kadi ya njano kwenye mechi hiyo.

Sasa hivi kuna habari zikatanabaisha kwamba maofisa wa Manchester wanatoa malalamiko ya kichinichini kwa kitendo cha kocha huyo kutuhumiwa kwa makosa ya Chama cha Kandanda cha England kwa mara ya 3 kwenye kipindi cha mwezi mmoja tu.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyo Mourinho anaringa sana sababu ana mihela

    ReplyDelete

Top Post Ad