Ni Kweli Nafasi ya Diamond Imechukuliwa na Darassa?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutokana na ngoma aliyotoa Darassa kuifunika ngoma ya Rich Mavoko aliyomshirikisha Diamond, inasemekana kuna dalili tosha kuwa Diamond kijiti anaanza kumpatia Darassa taratibu bila yeye kujua.

Je kuna ukweli wowote hapo???
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huo wimbo sijui "Too Much" hauna lolote lile ukiachilia hizo beats na hizo clothing line walizovaaa kuanzia huyo mwimbaji na hao akina video queen. Otherwise ni wimbo wa kawaida sana na tena hauna hata mantiki. Huwezi kumfananisha huyo kinyogoli na akina Jay Z hiyo ni sawa sawa na kuyalinganisha maji na mafuta. Ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa. Kwanza ni kwa nini hao ma video queen ni waneeene hata hawapendezi. Ni kwa nini msiwaweke wale ma video queens ma model. Mademu wembamba wembamba hivi.

    ReplyDelete
  2. mbona wanapiga mziki tofauti?acheni uchanganishi,alafu diamond amevuka boda tayari.

    ReplyDelete
  3. Darasa ndiyo nani? Ametoa ngoma gani, hebu tuwekeeni tuburudike nayo basi

    ReplyDelete
  4. DARASA AENDE DALASANI KWANZA DOMO NINOMA INTERNATIONAL ARTIST

    ReplyDelete

Top Post Ad