TIMU ya Mbwana Samatta KRC GENK Yaibuka na Ushindi wa Kishindo na Kushika Nafasi ya Kwanza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya kuahirishwa kwa mchezo wa Europa League kati ya Sassuolo ya Italia iliyokuwaicheze na KRC Genk ya Ubelgiji inayochezewa na mtanzania Mbwana Samatta kwa sababu ya hali ya hewa ya uwanja kuwa na ukungu kiasi wachezaji kutoweza kuonana vizuri jana December 8.

Mchana wa December 9 2016 ulichezwa mchezo huo wa mwisho wa Kundi F katika uwanja wa Mapei Italia, KRC Genk imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0, magoli yakifungwa na Bryan Heynen dakika ya 58 baada ya kupewa pasi na Samatta na goli la pili lilifungwa na  Leandro Trossard dakika ya 81.

Matokeo hayo yamewafanya KRC Genk kuongoza Kundi F kwa kufikisha jumla ya point 12 wakifuatiwa na Athletic Bilbao ya Hispania wenye point 10, KRC Genk na Athletic Bilbao wamefanikiwa kutinga hatua ya 32 bora ya michuano hiyo, bado haijajulikana na atacheza na nani hadi droo itakapochezeshwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad