AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchana wa December 9 2016 ulichezwa mchezo huo wa mwisho wa Kundi F katika uwanja wa Mapei Italia, KRC Genk imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0, magoli yakifungwa na Bryan Heynen dakika ya 58 baada ya kupewa pasi na Samatta na goli la pili lilifungwa na Leandro Trossard dakika ya 81.
Matokeo hayo yamewafanya KRC Genk kuongoza Kundi F kwa kufikisha jumla ya point 12 wakifuatiwa na Athletic Bilbao ya Hispania wenye point 10, KRC Genk na Athletic Bilbao wamefanikiwa kutinga hatua ya 32 bora ya michuano hiyo, bado haijajulikana na atacheza na nani hadi droo itakapochezeshwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK