AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
’Ben Pol Dodoma ni nyumbani kwao na mimi ni ukweni ndio maana alichukuwa nafasi hiyo ya kunitambulisha kwa ndugu zake na familia, Ben Pol alinipandisha kwenye stage kunitambulisha ndio ikatokea kitu kama kile sio kwamba tulifanya show pamoja mimi na yeye hapana …’ – SnuraBen Pol ambaye ametoa ufafanuzi kuhusu ishu nzima ilivyokuwa ….
‘Unajua ile ilikuwa arts tulitengeneza tu sanaa fulani ya stage na haikuwa skendo wala haikuwa kiki, kuhusu kumtambulisha Dodoma, hapana wazazi wangu wenyewe hawapo Dodoma wako Dar es salaam’ – Ben Pol
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mmmmh ben pol acha hizo mgogo mwenzangu zikuharibi bure unajua napenda sana unavyojiheshimu achana na mambo ambayo hayana faida yyt kwako huyo snura nae aliambulishwa wapi huijui mvumi wala mpunguzi eti dodoma ni ukweni poleeeeeeeeeeeeeeee utapasikia tu
ReplyDelete